UNGANENI PAMOJA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA BORA ZA AFYA NGAZI YA JAMII
Kaimu Katibu Tawala wa mkoa wa Pwani Bi.Savera Salvatory akizungumza katika ufungaji wa hafla ya kutembelea mradi wa Afya Tek na Usimamizi Shirikishi juu ya Masuala ya Afya katika halmashauri na Manispaa ya Kibaha . Kiongozi wa Mradi wa Afya –Tek Dkt.Angel Dillip ikiwa ni katika hafla ya majumuisho mara baada ya kutembelea mradi wa Afya Tek na Usimamizi Shirikishi juu ya Masuala ya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed